Ingia
🚀 Jiunge na Changamoto yetu ya Ramadhani!
Jifunze zaidi
🚀 Jiunge na Changamoto yetu ya Ramadhani!
Jifunze zaidi
Ingia
Ingia
Taarifa ya Sura
052

Sura At-Tur

Aya:

49

Mahali iliteremshwa:

Makka

SURAT ATT'UR 

(Imeteremka Makka)

Sura hii imeanza kwa kiapo cha watano katika bora wa viumbe kuwa adhabu itawateremkia hao wanao kanusha. Kisha ikafikia kusimulia kuwateremkia hiyo adhabu, na namna zake mbali mbali siku ya kufufuliwa na kulipwa. Na ikaingia kutaja mazungumzo juu ya neema za wachamngu na watakayo stareheshwa nayo katika Mabustani ya milele, na namna ya ukarimu watakao upata, na kisha yatakavyo tua macho yao kwa kuwa dhuriya zao watavyo wafuata, na kunyanyuliwa vyeo vyao wawafikie wao. Na baada ya hayo Sura inamuamrisha Mtume wa Mwenyezi Mungu s.a.w. adumishe kukumbusha bila ya kujali wanayo mzulia makafiri kumpinga yeye, au kushughulika na wayasemayo juu ya Qur'ani tukufu, kwa vile inavyo onyesha kuwa wameshindwa kuleta maneno mfano wa Qur'ani. 

Sura hii pia imekashifu maoni yao makafiri ya ufisadi ya kutangaza upotovu wao, na uovu wa kupima kwao. Kisha ikakhitimishia kwa kumuelekea Nabii s.a.w. na kumwambia awaachilie mbali mpaka watakapo ikuta siku yao watapo situshwa, naye akaamrishwa aistahamilie hukumu ya Mola wake Mlezi ya kuwapa muhula hao, kwani hayo hayatamdhuru kitu yeye kwa sababu yumo katika uhifadhi wa Mola wake Mlezi na ulinzi wake. Kadhaalika imemtaka amtakase Mwenyezi Mungu na katika nyakati zote, na katika kila msimamo atakao kuwamo kwa jambo lolote, na usiku zinapo tua nyota.

He has revealed to you ËąO ProphetËş the Book in truth, confirming what came before it, as He revealed the Torah and the Gospel
— Dr. Mustafa Khattab, the Clear Quran
Notes placeholders
Soma, Sikiliza, Tafuta, na Tafakari Qur'ani

Quran.com ni jukwaa linaloaminika na linalotumiwa na mamilioni duniani kote kusoma, kutafuta, kusikiliza na kutafakari kuhusu Qur'ani katika lugha tofauti. Inatoa huduma za tarjuma, tafsiri, vikariri, tarjuma ya neno kwa neno, na zana za ufahamu wa kina, kuifanya Qur'ani ipatikane na kila mtu.

Kama mbinu ya Sadaqah Jariyah, Quran.com imejitolea kusaidia watu kuunganishwa kwa kina na Qur'ani. Ikiungwa mkono na Quran.Foundation , shirika lisilo la faida la 501(c)(3), Quran.com inaendelea kukua kama rasilimali ya bila malipo na yenye thamani kwa wote, Alhamdulillah.

Chunguza
Nyumbani
Redio ya Qur'ani
Wasomaji
Kutuhusu
Watengenezaji
Sasisho za Bidhaa
Maoni
Msaada
Miradi Yetu
Quran.com
Quran For Android
Quran iOS
QuranReflect.com
Sunnah.com
Nuqayah.com
Legacy.Quran.com
Corpus.Quran.com
Miradi isiyo ya faida inayomilikiwa, kusimamiwa, au kufadhiliwa na Quran.Foundation
Viungo Maarufu

Ayatul Kursi

Yaseen

Al Mulk

Ar-Rahman

Al Waqi'ah

Al Kahf

Al Muzzammil

Ramani ya tovutiFaraghaSheria na Masharti
© 2026 Quran.com. Haki Zote Zimehifadhiwa